Social Icons

Jumatano, 25 Desemba 2013

KOCHA SIMBA AFARIKI

                                                                                      

James Kisaka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, James Kisaka amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Burhan, Dar es Salaam. Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates