


Huyo ndio mtoto wa Cristiano(Cristiano Jr)akiwa na familia yao katika uzinduzi wa jumba la makumbusho nchini kwao Ureno, sehemu iitwayo Madeira,nyumba hilo ni kwa jili kubwa ya Ronaldo na historia yake katika mpira.
Ni adimu sana mtoto huyo kuonekana katika Media na baba yake huwa hapendelei kabisa mwanae mwanae kuonekana katika vyombo hivyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni