Social Icons

Jumatatu, 10 Februari 2014

IRINGA NA DSM NAKO MADUKA YAFUNGWA KUKWEPE KUTUMIA MASHINE ZA TRA


 Hapa ni maeneo maarufu ( kama mtaa wa congo dar) sana mkoani Iringa,panajulikana kama Miyomboni kukiwa kimya kutokana maduka yote ya bidhaa muhimu yamefungwa na wananchi wanaendelea kupata taabu kutokana na mgomo wa kutumia mashine za kutolea risiti za TRA.
(picha na Denis Mlowe )

WENYE MADUKA KARIAKOO 

Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara kariakoo yaliyofungwa
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung’ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka lakini nane.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates