Social Icons

Jumapili, 3 Mei 2015

KISA MAYWEATHER VS PACQUIAO, ANGALIA NDEGE ZA MABILIONEA ZILIVYOJAZANA UWANJANI

Unaweza kusema ni jeuri ya fedha, mastaa mbalimbali mamilionea na mabilionea wamejitokeza kwenye pambano la ngumi kati ya Floyd Mayweather dhidi ya Manny Pacquiao.
Burudani ni kwamba kwenye Uwanja wa Ndege wa Las Vegas linapopigwa pambano hilo, zimejazana ndege ile mbaya.Ndege za matajiri hao, hadi imelazimika ziegeshwe kwa utaratibu usio sahihi kwa kuwa ziko nyingi ile mbaya.Ila imeelezwa wengi wao wanaondoka baada ya mechi hiyo asubuhi ya kurejea sehemu mbalimbali duniani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates