Papa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu baada ya kesi kuahirishwa.KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.
Tetesi za Soka Ulaya: De Zerbi, Keane au Hoddle kuokoa jahazi la Spurs?
-
Majina kadhaa yakiwemo ya wachezaji wawili wa zamani, yanatajwa kuwania
nafasi ya kuwa kocha wa Tottenham Hotspur, huku mabingwa wa Italia Napoli
wakipanga...
Dakika 10 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni