Papa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu baada ya kesi kuahirishwa.KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.
Tume ya uchunguzi yasema watu 518 walifariki dunia wakati wa ghasia za
uchaguzi Tanzania
-
Ripoti hii inachukuliwa kama nyenzo muhimu ya kuweka wazi ukweli na kutoa
mwelekeo wa taifa baada ya kipindi hicho kigumu.
Saa 1 iliyopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni