KOCHA LOUIS VAN GAAL AMEIBUKA NA KUPEWA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA WA UHOLANZI BAADA YA KUIFIKISHA NCHI HIYO KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2014. MSHAMBULIAJI WAKE, ROBBEN VAN PERSIE AMEPEWA TUZO YA BAO BORA, LILE ALILOFUNGA KWENYE KOMBE LA DUNIA AKIPAA KAMA NDEGE NA MSHAMBULIAJI WA BAYERN MUNICH, ARJEN ROBBEN AMETEULIWA KUWA MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA WA UHOLANZI. TUZO HIZO ZIMEFANYIKA JUZI USIKU NCHINI HUMO.
'Tunafikiri bunduki ndiyo inaweza kulinda amani' – Warioba
-
Warioba ameyasema hayo katika mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na Kituo
cha Demokrasia Tanzania (TCD), unaojadili hali ya kisiasa nchini Tanzania
baada y...
Dakika 33 zilizopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni