KOCHA LOUIS VAN GAAL AMEIBUKA NA KUPEWA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA WA UHOLANZI BAADA YA KUIFIKISHA NCHI HIYO KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2014. MSHAMBULIAJI WAKE, ROBBEN VAN PERSIE AMEPEWA TUZO YA BAO BORA, LILE ALILOFUNGA KWENYE KOMBE LA DUNIA AKIPAA KAMA NDEGE NA MSHAMBULIAJI WA BAYERN MUNICH, ARJEN ROBBEN AMETEULIWA KUWA MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA WA UHOLANZI. TUZO HIZO ZIMEFANYIKA JUZI USIKU NCHINI HUMO.
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Nidhamu na Uzalendo
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, , amewataka wanafunzi wa sheria nchin...
Saa 9 zilizopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni