KOCHA LOUIS VAN GAAL AMEIBUKA NA KUPEWA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA WA UHOLANZI BAADA YA KUIFIKISHA NCHI HIYO KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2014. MSHAMBULIAJI WAKE, ROBBEN VAN PERSIE AMEPEWA TUZO YA BAO BORA, LILE ALILOFUNGA KWENYE KOMBE LA DUNIA AKIPAA KAMA NDEGE NA MSHAMBULIAJI WA BAYERN MUNICH, ARJEN ROBBEN AMETEULIWA KUWA MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA WA UHOLANZI. TUZO HIZO ZIMEFANYIKA JUZI USIKU NCHINI HUMO.
Tetesi za soka Jumapili: West Ham yavutiwa na Sargent
-
West Ham wamemuongeza mshambuliaji wa Marekani na Norwich Josh Sargent, 25,
kwenye orodha yao ya wachezaji wanaolengwa mwezi Januari.
Saa 1 iliyopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni