Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
Trump aitaka Iran ijisalimishe bila masharti, Putin azungumza na rais wa
Iran
-
Trump ametoa wito huo wakati vita kati ya Marekani ikishirikiana na Israel
dhidi Iran vinaingia wiki ya pili huku mashambulizi ya kijeshi yakiripotiwa
kote...
Saa 1 iliyopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni