Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
Tume ya uchunguzi yasema watu 518 walifariki dunia wakati wa ghasia za
uchaguzi Tanzania
-
Ripoti hii inachukuliwa kama nyenzo muhimu ya kuweka wazi ukweli na kutoa
mwelekeo wa taifa baada ya kipindi hicho kigumu.
Saa 1 iliyopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni