Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
SERIKALI YAIMARISHA UWAZI SEKTA YA MADINI, BEI ELEKEZI KUTOLEWA KILA SIKU
-
Serikali kupitia Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa bei elekezi za
madini ya dhahabu, shaba na fedha kila siku itakayotumika kwenye masoko na
vituo vy...
Dakika 24 zilizopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni