Producer anayewani tuzo ya mtayarishaji bora wa muziki wa bendi kwenye KTMA 2014 amepata ajali mbaya na kuumia kichwani huku bajaj aliyokuwa amepanda kuharibika sana. C9 amewai kutengeneza ngoma nyingi kama Mama Ntilie, nyimbo nyingi za marehemu Sharo millionea na nyingine. Hivi sasa anaendelea vizuri hadi anajibu pole anazopewa na mashabiki zake kwenye mtandao wa instagram.
Vikosi vya Marekani vyashambulia meli za mafuta za Iran; IRGC yatangaza
mashambulio ya kulipiza kisasi
-
Masaa kadhaa baada ya meli tatu za mafuta za Iran kushambuliwa, Jeshi la
Wanamaji la IRGC lilithibitisha kuwa lilifyatua makombora matatu kutoka
Sirik kuel...
Dakika 41 zilizopita

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni