Producer anayewani tuzo ya mtayarishaji bora wa muziki wa bendi kwenye KTMA 2014 amepata ajali mbaya na kuumia kichwani huku bajaj aliyokuwa amepanda kuharibika sana. C9 amewai kutengeneza ngoma nyingi kama Mama Ntilie, nyimbo nyingi za marehemu Sharo millionea na nyingine. Hivi sasa anaendelea vizuri hadi anajibu pole anazopewa na mashabiki zake kwenye mtandao wa instagram.
Tume ya uchunguzi yasema watu 518 walifariki dunia wakati wa ghasia za
uchaguzi Tanzania
-
Ripoti hii inachukuliwa kama nyenzo muhimu ya kuweka wazi ukweli na kutoa
mwelekeo wa taifa baada ya kipindi hicho kigumu.
Saa 1 iliyopita

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni