Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
Vikosi vya Marekani vyashambulia meli za mafuta za Iran; IRGC yatangaza
mashambulio ya kulipiza kisasi
-
Masaa kadhaa baada ya meli tatu za mafuta za Iran kushambuliwa, Jeshi la
Wanamaji la IRGC lilithibitisha kuwa lilifyatua makombora matatu kutoka
Sirik kuel...
Dakika 40 zilizopita




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni