Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
RAIS SAMIA: TUKIO LA OKTOBA 29 HALIKUWA LA BAHATI MBAYA, LILIRATIBIWA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema
matukio ya vurugu yaliyotokea wakati na baada ya ...
Dakika 34 zilizopita




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni