Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
Tume ya uchunguzi yasema watu 518 walifariki dunia wakati wa ghasia za
uchaguzi Tanzania
-
Ripoti hii inachukuliwa kama nyenzo muhimu ya kuweka wazi ukweli na kutoa
mwelekeo wa taifa baada ya kipindi hicho kigumu.
Saa 1 iliyopita




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni