Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Nidhamu na Uzalendo
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, , amewataka wanafunzi wa sheria nchin...
Saa 10 zilizopita




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni