Golikipa wa timu ya Taifa na aliyekuwa golikipa wa Simba msimu uliopita, Juma Kaseja akitia saini mkataba wa kuichezea Yanga kwenye mzunguko wa pili utaonza Januari mwakani, Kaseja amesaini kuichezea Yanga kwa shs Mil. 40.
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
Saa 5 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni