Golikipa wa timu ya Taifa na aliyekuwa golikipa wa Simba msimu uliopita, Juma Kaseja akitia saini mkataba wa kuichezea Yanga kwenye mzunguko wa pili utaonza Januari mwakani, Kaseja amesaini kuichezea Yanga kwa shs Mil. 40.
Ruto apendekeza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga Tanzania
-
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito wa ushirikiano wa kikanda na
ushirikiano wa kiuchumi, akizitaka Kenya na Tanzania kuimarisha uhusiano wa
uwekezaji n...
Saa 8 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni