Golikipa wa timu ya Taifa na aliyekuwa golikipa wa Simba msimu uliopita, Juma Kaseja akitia saini mkataba wa kuichezea Yanga kwenye mzunguko wa pili utaonza Januari mwakani, Kaseja amesaini kuichezea Yanga kwa shs Mil. 40.
TRA PWANI YAKAMATA BIDHAA ZA MAGENDO BANDARI YA BAGAMOYO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata bidhaa mbalimbali
za magendo katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu
10 ya ...
Saa 9 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni