Golikipa wa timu ya Taifa na aliyekuwa golikipa wa Simba msimu uliopita, Juma Kaseja akitia saini mkataba wa kuichezea Yanga kwenye mzunguko wa pili utaonza Januari mwakani, Kaseja amesaini kuichezea Yanga kwa shs Mil. 40.
Vikosi vya Marekani vyashambulia meli za mafuta za Iran; IRGC yatangaza
mashambulio ya kulipiza kisasi
-
Masaa kadhaa baada ya meli tatu za mafuta za Iran kushambuliwa, Jeshi la
Wanamaji la IRGC lilithibitisha kuwa lilifyatua makombora matatu kutoka
Sirik kuel...
Dakika 42 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni