Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mheshimiwa Halima James Mdee amepost tweet za kumsifia Diamond kwa kusema, “Huyu dogo DIAMOND…..Mungu ambariki….ni mtoto wa kitaa…aliyeonyesha kwamba inawezekana..ktk sanaa yetu , kutoka 0-100%
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
Saa 5 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni