Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mheshimiwa Halima James Mdee amepost tweet za kumsifia Diamond kwa kusema, “Huyu dogo DIAMOND…..Mungu ambariki….ni mtoto wa kitaa…aliyeonyesha kwamba inawezekana..ktk sanaa yetu , kutoka 0-100%
Vikosi vya Marekani vyashambulia meli za mafuta za Iran; IRGC yatangaza
mashambulio ya kulipiza kisasi
-
Masaa kadhaa baada ya meli tatu za mafuta za Iran kushambuliwa, Jeshi la
Wanamaji la IRGC lilithibitisha kuwa lilifyatua makombora matatu kutoka
Sirik kuel...
Dakika 40 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni