Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mheshimiwa Halima James Mdee amepost tweet za kumsifia Diamond kwa kusema, “Huyu dogo DIAMOND…..Mungu ambariki….ni mtoto wa kitaa…aliyeonyesha kwamba inawezekana..ktk sanaa yetu , kutoka 0-100%
Ruto apendekeza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga Tanzania
-
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito wa ushirikiano wa kikanda na
ushirikiano wa kiuchumi, akizitaka Kenya na Tanzania kuimarisha uhusiano wa
uwekezaji n...
Saa 8 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni