Social Icons

Jumatano, 25 Desemba 2013

BAADA YA RUBEN,FALCAO NAYE ATETA YAKE: RONALDO NI MCHEZAJI BORA ZAIDI YA LIONEL MESSI

Mshambuliaji wa Monaco  Radamel Falcao anaamini kwamba mshambuliaji wa Real Madrid  Cristiano Ronaldo ni mchezaji mzuri kuliko staa wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.

Mchezaji huyo wa Colombia anawakubali wachezaji wote wawili, ingawa Falcao anaamini Cristiano ni bora zaidi ya Messi.

"Messi na Cristiano ni wachezaji muhimu na wakubwa duniani leo hii lakini, kwangu mimi naamini Ronaldo ni bora zaidi," alisema mchezaji huyo mwenye miaka 27 alipoongea na El Tiempo.

Falcao pia amesema ni Cristiano Ronaldo anayestahili kuwa mchezaji bora wa dunia katika tuzo za Ballon D'or zitakazotolewa mwezi ujao ambapo Ronaldo anapambana na Ribery pamoja na Messi.

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA MWANAMKE

 


1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
 
2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
 
3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,
 
4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
 
5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.

KOCHA SIMBA AFARIKI

                                                                                      

James Kisaka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, James Kisaka amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Burhan, Dar es Salaam. Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu..

Ijumaa, 13 Desemba 2013

MAJESHI YENYE NGUVU ZAIDI AFRICA

The Global Fire Power ranking, or GFP, measures countries’ military strength and assigns a power index number in order to compare them to other countries. Many factors are taken into consideration, and smaller countries can compete with larger ones due to points given for refinement and technological advancement.
Just seven African countries are ranked by the GFP. An inadequate amount of information is available to compare other countries that are not included. Based on available information, the following countries represent the most powerful militaries on the African continent in 2013, according to GlobalFirepower.com.
Numbers reflect each country’s power index, derived from a unique algorithm developed by GFP. A perfect score is a 0.0000. The lower the number, the stronger the military, and bonuses and penalties are added to country scores as needed.

1. Egypt – Power Index: 0.7569

Egypt is put over the top with regard to military strength due to the sheer size of its armed forces. Nearly 500,000 personnel serve on its active frontline force, far surpassing all of its African neighbors, as well as its nearly 10,000 armored fighting vehicles, 60,000 logistical vehicles, 900 aircraft, and large oil reserve from which to draw. Again, the military has been somewhat undermined in the wake of the Egyptian Revolution, but some argue that its increased role in government has made it stronger than ever. Whether or not this is a cause for celebration or concern will remain hotly debated for some time to come.

2. Ethiopia – Power Index: 1.1725

As a landlocked country, Ethiopia has focused its resources on developing its army and air force to an impressive degree (the GFP doesn’t penalize landlocked countries for not having a naval force). Several hundred thousand personnel make up its current force, and they have significant numbers of land and air systems at their disposal. Furthermore, an enormous population that is fit for service allows Ethiopia to maintain the capacity to turn out an even larger fighting force, and gives the country one of the greatest militaries on the continent.

3. South Africa – Power Index: 1.2582

As it hasn’t been embroiled in an international military conflict for some time, South Africa uses its highly advanced military for more peacekeeping and international cooperation purposes. Its aircraft and naval vessels are notoriously well-equipped with the latest technology, and though the country has less than 100,000 active frontline personnel, it has the capabilities and manpower for much more. Add to that a vast array of land system technology, and the South African military is indeed a force to be reckoned with.

4. Nigeria – Power Index: 1.3441

Due to its size, it’s no surprise that several hundred thousand troops comprise the Nigerian Armed Forces, through its army, navy, and air force. Like Algeria, an abundant domestic oil supply eases the financial burden to be involved in military conflict, and it has more than 1,400 armored vehicles, 360 tanks, and 6,000 logistical vehicles at its disposal, as well as nearly 300 aircraft and 25 high-powered naval vessels.

5. Algeria – Power Index: 1.4107

As Algeria has a large maritime border, it has developed all of its military capabilities to an impressively modern degree, including its land, sea, and air forces. Algeria’s active frontline personnel numbers more than 127,000 troops and it has nearly 2,000 armored fighting vehicles at its disposal. Algeria also has the added benefit of its own oil reserves, allowing it to use its own fuel to power tanks, aircraft carriers, naval vessels, and more.

6. Kenya – Power Index: 1.6237

Kenya has established itself as a vital participant in international peacekeeping missions, and is able to do so due to a high merchant marine strength and an enormous labor force – resulting in high available manpower. Though it doesn’t possess as much of its own equipment, its role as a member of international teams allows the Kenyan military to share resources with other countries, strengthening its own capabilities at the same time.
7. Libya – Power Index: 1.8428
The strength of Libya’s military comes mainly from its large cache of equipment, despite a relatively small number of active troops. Further hampering Libya’s abilities is the continuing violence and unrest stemming from the revolution begun in 2011 which has yet to see a stable government emerge from it. Regardless, the country still has available 2,500 armored fighting vehicles, 500 tanks, 600 towed artillery pieces, 6,500 logistical vehicles, and much more.

Jumatatu, 2 Desemba 2013

Misri yaandaa rasimu ya katiba mpya

Mkuu wa rasimu mpya ya katiba ya Misri Amr Moussa (Kushoto), mjini Cairo, Dec. 1, 2013.

Jopo la wajumbe 50 limepitisha pendekezo la rasimu ya  katiba mpya ya Misri itakayopigiwa kura na wananchi mapema mwakani.
 
Pendekezo hilo ni hatua ya awali katika juhudi za kurejesha utawala wa kidemokrasia baada ya kutimuliwa mwezi Julai kwa rais Mohamed Morsi. Pia itachukua nafasi ya katiba yenye utata iliyoidhinishwa na rais wa Kiislam Morsi.

Katiba mpya inataka uchaguzi wa rais na bunge kufanyika ndani ya kipindi cha miezi sita baada ya wapiga kura kuipitisha.

Lakini itakuwa ni chaguo la rais wa mpito Adly Mansour kuamua ikiwa uchaguzi utafanyika kwanza.

Tamko la Chadema Kigoma na kuhusu ziara ya Dr. Slaa na tishio la usalama.

chadema 
Hii ni taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Dec 2 2013 likiwa ni tamko la kikao cha mkoa Chadema Kigoma.

Ni kuhusu Kikao kilichofanyika ofisi ya Mkoa Ujiji kilibeba AGENDA ya Kujadili na Kuboresha ujio wa ziara ya Katibu Mkuu (T) Dr. P. Slaa Mkoani Kigoma 5/12/2013 ambapo atatembelea majimbo yote 8 ya mkoa Kigoma kwa mikutano si chini ya miwili kwa kila jimbo na baadae mkutano wa mwisho, jioni Mkutano ufanyike makao Makuu ya 

Jimbo lengo likiwa ni kuangalia uhai wa chama.
Mambo makuu na muhimu yalizingatiwa ambapo usalama kwa Kiongozi huyo kufutia sakata la Maamuzi ya kamati kuu dhidi ya Mhe.Zitto na mapokeo ya wanachama wetu.

Kutoa taarifa rasmi kwa majimbo na kupokea hali ilivyo au inavyoonekana katika maeneo yao.
Baada ya Tafakuri ya kina na ya Hekima na Busara pevu katika ujio huo iliazimiwa ifuatavyo

i.Mkoa uliomba Taifa lihairishe na kusogeza mbele tarehe ya ziara hiyo muhimu kwa mkoa wetu ili Mkoa kama ngazi ya chini ya Kanda na Taifa uweze kwenda katika majimbo hayo na kuwaelimisha wanachama na wapenzi wetu juu ya kuheshimu na kuwa na nidhamu na maamuzi yatolewayo na ngazi ya juu yetu hata kama yanamaumivu ….katiba ifuatwe katika kutatua tatizo – Maoni ya Wengi Mkoani na Viongozi wa Chama ni kuudhiwa na maamuzi ya k/kuu ambayo dhahiri yalilenga Zitto – Kisiasa.

ii.  Mkoa ulitishika na vitisho baada ya kupokea taarifa toka kwa baadhi ya viongozi wa majimbo ya mkoa kwamba hali ya usalama si nzuri kwa ujio wa kiongozi Dr. Slaa kufika Kigoma kwa kipindi hiki wakati wanachama na wapenzi wakitafakari na kwa kauli tofauti zisizolenga kuwepo usalama.

 iii.           Kwa hekima ya kikao kilijiridhisha kwa kupata maoni toka katika majimbo 6 kuwa hali ni mbaya kabisa wakishauri Katibu mkuu asogeze mbele ziara yake kupisha mtafaruku huu na kwa usalama wa Chadema na viongozi wake Kitaifa.

iv.          Hivyo Mkoa kupitia kikao hicho ikaonekana ni bora kuzuia kuliko kutibu, tayari sintofahamu zimeonekana, viongozi na hasa wa majimbo kutofautiana mitazamo ni HATARI katika hali hiyo, mkoa ulijiridhisha usalama hautakuwepo kwa ujumla hata kama baadhi ya majimbo yakisema wao wapo salama tu.

v.            HOFU/TAHADHARI -   Endapo hali haitokuwa salama Mungu apishe mbali.
Mkoa hautokwepa lawama na uzembe wa makusudi kwani wajibu wa ngazi ya chini ni kutoa ushauri kwa ngazi ya juu hivyo mkoa unatoa ushauri kwa Makao Makuu (T) Chadema kusogeza mbele ziara hiyo hadi hali itulie na mkoa upite majimboni kujiridhisha na usalama kwa viongozi wake na hasa wa Taifa.

LENGO KUU:   NI KUHAKIKISHA CHADEMA TUNAPITA SALAMA KATIKA WAKATI HUU MGUMU KWETU – CHADEMA
 ALHAJ. JAFARI KASISIKO                                           MSAFIRI WAMALWA
M/KITI MKOA                        01/DEC.2013                KATIBU MKOA

What Happens to 'Fast & Furious 7' Following Paul Walker's Death?

Paul Walker in 'Fast 6' (Universal Pictures/Courtesy Everett Collection)

The fate of "Fast & Furious 7" is up in the air.

Following the sudden death of Paul Walker, executives at Universal — the studio behind "The Fast & Furious" franchise — met on Sunday to discuss the future of the film, according to The Hollywood Reporter. Reportedly, there will be a delay in production, but the movie will not be abandoned entirely.

Production was on hiatus over the Thanksgiving holiday and was set to resume this week in Atlanta, Georgia, sources confirm to Yahoo Movies, but will be halted in the meantime.
THR reports "Fast & Furious 7" director James Wan met with Universal to discuss the future of the project, how to re-work the script, and "how to proceed in a manner that would be respectful to Walker's death."

Walker, who reprised his role as Brian O'Conner, had been filming the seventh installment since September.

Variety reports it is unclear how much of Walker’s footage had been shot, while The Wrap alleges production is already more than halfway done. Meanwhile, THR claims a large part of the movie had been shot, but additional scenes were to be filmed in January in Abu Dhabi with Paul and the main cast.

On Saturday, Universal released their only statement thus far following the tragedy: "All of us at Universal are heartbroken. Paul was truly one of the most beloved and respected members of our studio family for 14 years, and this loss is devastating to us, to everyone involved with the 'Fast and Furious' films, and to countless fans. We send our deepest and most sincere condolences to Paul's family."

Franchise favorites Vin Diesel, Michelle Rodriguez, Jordana Brewster, and Dwayne Johnson are all back for "Fast & Furious 7," which was scheduled for release on July 11, 2014. The “Fast” franchise has grossed more than $2.3 billion at the worldwide box office. 

On Nov. 30, Paul Walker passed away at the age of 40 in a fiery one-car collision just outside of Los Angeles. The actor was attending a charity event for his organization Reach Out Worldwide. Paul's longtime friend and CEO of his company Always Evolving, Roger Rodas, has been identified as the driver of the vehicl

Mtoto wa miaka 8 alijaribu kufanya kitendo cha kishujaa kumuokoa baba yake ‘Roger Rodas’ dereva mstaafu wa mashindano ya magari aliyepoteza maisha kwenye ajali ya gari iliyochukua maisha ya star wa action movie ya ‘Fast and Furious’ Paul Walker, ajali iliyotokea November 30.
Kwa mujibu wa Radar Online, mtoto huyo wa Roger Rodas aliyekuwa dereva wa gari hilo alikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kufika kwenye eneo la tukio dakika kadhaa baada ya gari hilo kupata ajali na kushika moto.
Shuhuda wa tukio hilo aliiambia Radar Online kuwa mtoto huyo aliruka uzio na kwenda kwenye gari hilo lililokuwa likiendelea kuwaka moto kujaribu kumuokoa baba yake lakini hakuweza kufanya chochote.
Roger Rodas alikuwa rafiki wa karibu wa Paul Walker na mshauri wake katika maswala ya biashara.

WAKATI RAGE AMEWARUDISHA MAKOCHA WA SIMBA,KOCHA MPYA WA SIMBA AJA,PATA PICHA NA HABARI....


Mashabiki wa Timu ya Simba, wakimpokea kwa shangwe na nderemo, kocha wao mpya aliyetua nchini leo machana. 


Mara kadhaa kumekuwa kukitokea furaha kwa mashabiki, viongoni na hata wachezaji wa Klabu zetu kubawa hapa nchini, wakati wanapokuwa wanamkaribisha Kocha mpya ama kumtambulisha kwa mbwembwe nyingi, lakini anapotokea kukosea kidogo haijalishi ni muda gani amekwisha kaa na Klabu husika, anaweza kutimulia ama kuanzishiwa mizengwe hadi akakata tamaa ya kuonyesha yale yote aliyojiandaa nayo kuifanyia Klabu husika. 


Wakati umefika sasa kwa Klabu zetu kufunguka kifikra na kuwa na upeo wa kufikiri ili kuziendeleza klabu zetu, kwa kuwaachia makocha waweze kufanya yale yanayostahili bila kuingiliwa na viongozi ama watu flani kwa pesa zao ama umaarufu wao katika klabu. Huko nyuma walikwishapokelewa makocha kadhaa kama alivyofanyiwa kocha huyu leo na waliondoka kimya kimya huku wengine wakiondoka klabuni kwa mafalakano na viongozi wa klabu.

Kocha huyo akikabidhiwa taji la maua na mashabiki baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere 
Akipata menu.....
Kocha huyo akiongozana na baadhi ya viongozi wa Simba wakati alipotembelea na kukagua uwanja wa mazoezi wa Klabu hiyo wa Kinesi.

Jumapili, 1 Desemba 2013

MBWANA SAMATTA AFUNGA ILA AMESHIDWA KUVAA MEDANI YA DHAABU NA ULIMWENGU


WASHAMBULIAJI Mbwana Ally Samatta na Thomas Emanuel Ulimwengu leo wameshindwa kutimiza ndoto zao za kuwa Watanzania wa kwanza kuvaa Medali za

Dhahabu za michuano ya Afrika baada ya klabu yao, Tout Puissant Mazembe kushinda 2-1 dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia, katika fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, hivyo kuangushwa kwa matokeo ya jumla ya 3-2, baada ya awali kufungwa 2-0 Uwanja Olympique de Rades mjini Tunis katika Fainali ya kwanza.

 
Mazembe ilitakiwa kushinda mabao 3-0 Jana nyumbani ili kutwaa taji hilo, na ilionekana kama ingeweza kufanya hivyo baada ya kuongoza kwa mabao 2-0 hadi dakika ya 88, yaliyofungwa na nyota wa Mali, Traore Cheibane dakika ya 10 na Samatta dakika ya 24.
 
Lakini wakati Mazembe wakiwa bize na mashambulizi ya kusaka bao la tatu dakika za lala salama, Ben Youssef akaifungia bao muhimu Sfaxien dakika ya 88 na kuzima ndoto za akina Samatta kuvaa Medali za Dhahabu za Kombe la Shirikisho.
 
Katika mchezo wa kwanza, mabao yaliyoizamisha Mazembe yalifungwa na washambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Ibrahim Didier Ndong aliyefunga bao la kwanza dakika ya 16 na mshambuliaji Taha Yassine Khenissi aliyefunga la pili dakika ya 90 na ushei wakimtungua kipa mahiri, Robert Muteba Kidiaba.


home-1371235525_24avr13-tpm-daup_080_1371235525_1371235525
Mbwana Samatta amerudia kuvaa Medali ya Fedha Kombe la CAF kama nyota wa Simba SC mwaka 1993

Washambuliaji wote wa Tanzania, Samatta na Ulimwengu walianza katika kikosi cha Mazembe pamoja na Tressor Mputu Mabi, lakini hawakuweza kuwanusuru mabingwa mara nne Afrika na kipigo hicho.
 
Sfaxien, timu pekee iliyoshinda Kombe la Shirikisho mara mbili tangu kutambulishwa kwa mfumo mpya mwaka 2004, yenye maskani yake katika mji uliozungukwa na bahari ya Mediterranean, Sfax kwa ushindi huo itazawadiwa kitita cha dola za Kimarekani, 625 000, wakati Mazembe watapata dola 432 000.
 
Sfaxien pia watamenyana na mabingwa wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly ya Misri kuwania taji la Super Cup mechi itakayopigwa nchini Misri Februari 2014.
 
Wachezaji waliokuwa wakiunda kikosi cha Simba SC mwaka 1993 walivalishwa Medali za Fedha pia na Rais mstafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi baada ya kufungwa mabao 2-0 na Stellah Abidjan ya Ivory Coast mwaka 1993 katika fainali ya pili ya Kombe la
 
CAF Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Awali, Simba ilitoa sare ugenini na kuwapa matumaini Watanzania kwamba taji la kwanza kubwa Afrika lingetua nchini mwaka 1993.
 
Baada ya mchezo huo, Samatta na Ulimwengu watapanda ndege kesho kuelekea Nairobi, Kenya kuungana na kikosi cha Bara, Kilimanjaro Stars kinachoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge.

 
 
 
Blogger Templates