Askari wa bunge la jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mhe mbunge wa Chadema jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Suga ndani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini Dodoma leo.
GST YAWEKEZA UJUZI, TEKNOLOJIA KUBORESHA TAFITI ZA MADINI NCHINI
-
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST, Neema Mhagama akizungumza na
waandishi wa habari alipotembelea banda la GST katika Maonesho ya Kilimo
ya ...
Saa 4 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni