Askari wa bunge la jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mhe mbunge wa Chadema jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Suga ndani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini Dodoma leo.
Ruto apendekeza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga Tanzania
-
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito wa ushirikiano wa kikanda na
ushirikiano wa kiuchumi, akizitaka Kenya na Tanzania kuimarisha uhusiano wa
uwekezaji n...
Saa 2 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni